![]() |
| Huu ndo mji wa mbale nilipoenda kufanya majaribio yangu |
![]() |
| Tumefika stand kila mtu choka mbaya siwezi sahau hiyo siko |
![]() |
| Hapa tumeanza kuwajibika kwa siku ya kwanza station..wa kwanza kushoto ni blogger na wanafunzi wenzangu |
![]() |
| Huyu kaka siwezi msahau alitusaidia sana kuanzia kutafuta habari kuziedi na kuzisoma hewani anaitwa Zavia ni mmoja wa watangazaji wa Top Radio Mbale |
![]() |
| Mmmmh kila nikimuangalia uyu dada natabasamu tu alinifundisha vitu vingi kuanzia kuandika script na kupropose program,,,,i salute you my sisy Abigail |
![]() |
| Hapa nimepewa script ya Taarifa ya Habari kwa Lugha ya Kiswahili Naitendea kazi |
![]() |
| Nilipoalikwa kwenye talk show ya YOUTH ALIVE it was so mwaaah |
![]() |
| Majadiliano yakiendelea ilikuwa bonge la furaha |
![]() |
| Me n Abigail |
![]() |
| Me and fello internee Mayeku |
![]() |
| We usinipige picha niko busy mie |
![]() |
| Ndani ya Never give up nawakilisha |
![]() |
| Siku ya kuiga Top Radio na kurudi shuleni Shukurani zimwendee supervisor wetu Mr Nathani |
![]() |
| me and my room mate shamirah |
![]() |
| Me and Grolia a.ka. Mamy's doughter |
![]() |
| Ntawamiss sana mabest |
![]() |
| ooooow byeeee Top Radio |
![]() |
| Byeeeeeeeeeeee MBALE town finaly Ndani ya Bus back to kampala |


















No comments:
Post a Comment