Monday, August 19, 2013

LULU IS BACK

Muigizaji wa Bongomovie a.k.a LULU yupo mbioni kuzindua filamu yake inayokwenda kwa jina la FOOLISH AGE atazindiliwa Mlimani city tarehe 30 mwezi huu kwa kiingilio cha elfu 30..Pia atasindikizwa na msanii nguli anayetambo na vibao kama Yahaya na Joto hasira..yeah kweli LULU IS BACK
LULU

No comments:

Post a Comment